mtanzania wa sasa anapata tabu kuliko mtanzania aliyekuwa akiishi miaka ya nyuma, sababu ni hali ya kiuchumi kushuka kwa kasi!. mpaka inawapelekea kukosa kipato cha kuweza kujikimu kimaisha. je hali hii inaweza kutafutiwa ufumbuzi?. hlo ni swali kwa watanzania wote kwa ujumla!
No comments:
Post a Comment