Sunday, June 3, 2012

MAISHA YA SHULE!

Maisha ya shule ni mazuri sana kwani hujenga mtu kuwa na maalifa na uelewa wa mambo katika dunia!, vilevile hujenga mtu kuweza kuishi na watu wa kila aina na kupata ufahamu wa mambo yanayojili! kwa hyo ewe mtanzania, shule ni muhimu kwa maisha yako ya sasa na ya baadae.Elimu ni muhimu kwa maisha ya mtanzania!.

No comments:

Post a Comment