Thursday, September 13, 2012

KIKOSI MAHILI KISICHO SAHAULIKA! KTKA SHULE YA TAMBAZA! WANA ECA! KUJENGA UMOJA ULIOWADUMISHA NA KUFIKA MBALI! ECA SQUARD! WE WERE DA BEST EVER!

BHATAAAA!

DEE NA RAFIKIZE WAKILA BHATA ZA MAISHA! WOW!

Wednesday, August 22, 2012

HUSTLER!

DEE DA BUOY! AKITOKLEZEA NA SWAGGS KITAA! WOW OU YEAH!

SKOUNGAAAH!

 DEE NA RAFIKIYE WAKIPIGA MISULI KATIKA CHUO KIKUU (UDSM)

 
DEE BOY N' ANTHONIO CAITANO WAKITOKLEZEA BAADA YA KUMALIZA KUJISOMEANI MABEST FRIEND EVER! WOW OU YEAH!

SWAGGZ KITAA!

DEE DA BUOY! katika hali ya ku show off! na kupiga pozz hadim! enjoy t!

Monday, August 20, 2012

utata kuhusu matokeo ya kuchaguliwa kwa wanafunzi katika vyuo mbalimbali.imekuwa ni kama wimbo kwa wanafunzi, kuhusu hatma yao ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu! kwan matokeo yamekuwa yakicheleweshwa kiasi cha kuvuja kwa matokeo ya baadhi ya vyuo, kama udsm,udom na vingine vingi.

Sunday, June 3, 2012

MAISHA YA SHULE!

Maisha ya shule ni mazuri sana kwani hujenga mtu kuwa na maalifa na uelewa wa mambo katika dunia!, vilevile hujenga mtu kuweza kuishi na watu wa kila aina na kupata ufahamu wa mambo yanayojili! kwa hyo ewe mtanzania, shule ni muhimu kwa maisha yako ya sasa na ya baadae.Elimu ni muhimu kwa maisha ya mtanzania!.

MAISHA YA MTANZANIA!

mtanzania wa sasa anapata tabu kuliko mtanzania aliyekuwa akiishi miaka ya nyuma, sababu  ni hali ya kiuchumi kushuka kwa kasi!. mpaka inawapelekea kukosa kipato cha kuweza kujikimu kimaisha. je hali hii inaweza kutafutiwa ufumbuzi?. hlo ni swali kwa watanzania wote kwa ujumla!