KIKOSI MAHILI KISICHO SAHAULIKA! KTKA SHULE YA TAMBAZA! WANA ECA! KUJENGA UMOJA ULIOWADUMISHA NA KUFIKA MBALI! ECA SQUARD! WE WERE DA BEST EVER!
Thursday, September 13, 2012
Wednesday, August 22, 2012
SKOUNGAAAH!
DEE NA RAFIKIYE WAKIPIGA MISULI KATIKA CHUO KIKUU (UDSM)
DEE BOY N' ANTHONIO CAITANO WAKITOKLEZEA BAADA YA KUMALIZA KUJISOMEANI MABEST FRIEND EVER! WOW OU YEAH!
DEE BOY N' ANTHONIO CAITANO WAKITOKLEZEA BAADA YA KUMALIZA KUJISOMEANI MABEST FRIEND EVER! WOW OU YEAH!
Monday, August 20, 2012
Sunday, June 3, 2012
MAISHA YA SHULE!
Maisha ya shule ni mazuri sana kwani hujenga mtu kuwa na maalifa na uelewa wa mambo katika dunia!, vilevile hujenga mtu kuweza kuishi na watu wa kila aina na kupata ufahamu wa mambo yanayojili! kwa hyo ewe mtanzania, shule ni muhimu kwa maisha yako ya sasa na ya baadae.Elimu ni muhimu kwa maisha ya mtanzania!.
MAISHA YA MTANZANIA!
mtanzania wa sasa anapata tabu kuliko mtanzania aliyekuwa akiishi miaka ya nyuma, sababu ni hali ya kiuchumi kushuka kwa kasi!. mpaka inawapelekea kukosa kipato cha kuweza kujikimu kimaisha. je hali hii inaweza kutafutiwa ufumbuzi?. hlo ni swali kwa watanzania wote kwa ujumla!
Subscribe to:
Posts (Atom)